Israel Yakaribia Kuchukua Gaza City: Dunia Yatazama kwa Wasiwasi

ikionyesha raisi wa urusi puttin na raisi wa umarekani trump

Alaska, Marekani — Agosti 15, 2025 Rais wa Marekani Donald Trump amethibitisha kuwa atakutana na Rais wa Urusi Vladimir Putin katika mkutano wa kihistoria unaotarajiwa kufanyika Alaska. Lengo kuu la mkutano huo ni kujadili njia za kusitisha vita vinavyoendelea kati ya Urusi na Ukraine, pamoja na uwezekano wa kubadilishana maeneo ya ardhi kama sehemu ya makubaliano ya amani.

Trump, akizungumza na waandishi wa habari, alisema kuwa mazungumzo hayo yanatarajiwa kuhusisha:

alisema Trump.
“Tutakutana ana kwa ana. Kutakuwa na kubadilishana maeneo kwa manufaa ya pande zote. Ni ngumu, lakini inawezekana,”

Reakshen za Kimataifa
Mpango huo umekumbwa na maoni mseto kutoka kwa viongozi wa kimataifa:

Umuhimu wa Mkutano Huu ni mkutano wa kwanza wa ana kwa ana kati ya Trump na Putin tangu 2019, na unaweza kuwa hatua muhimu kuelekea:

Weka Maoni yako hapa Chini

picha-ndogo-ya-mwandishi by Twaha Ahmadi | Iliandikwa 09/08/2025

← Rudi Mwanzo Toa Maoni

Shiriki habari hii: