picha-ya-raisi-wa-china

Katika mkutano wa BRICS uliofanyika Rio de Janeiro mnamo Julai 2025, nchi wanachama — Brazil, Russia, India, China, na Afrika Kusini — zimethibitisha rasmi azma yao ya kupunguza utegemezi wa dola ya Marekani katika biashara na mifumo ya kifedha duniani.

Sababu za Hatua Hii

viongozi wa brics, kutoka nchi mbali mbali na tofauti

China: Kinara wa Mageuzi
China inaongoza juhudi hizi kwa kusukuma matumizi ya yuan na kuendesha majaribio ya e-CNY — sarafu yake ya kidijitali — katika miamala ya kimataifa.

picha-ndogo-ya-mwandishi by Twaha Ahmadi | Iliandikwa 27/07/2025

← Rudi Mwanzo Toa Maoni

Shiriki habari hii: