Madini Muhimu ya Congo

Congo ni hazina ya madini ya thamani duniani, Hapa kuna muhtasari wa kina kuhusu madini yanayopatikana nchini humo na kazi zake:

Hutumika katika betri za lithiamu-ion (simu, magari ya umeme)

Muhimu kwa simu, kompyuta, na kamera

Pia hutumika kutengeneza vyombo vya jikoni

Pia hutumika kwenye balbu na vifaa vya viwandani

Congo ina migodi ya almasi mashariki mwa nchi

Migodi mingi iko mashariki mwa DRC

Haut-Katanga ni mkoa maarufu kwa shaba

Congo ina akiba kubwa ya madini haya

Unamaoni gani kuhusiana na Suala la Madini ya congo ? Toa maoni yako hapo chini

picha-ndogo-ya-mwandishi by Twaha Ahmadi | Iliandikwa 05/08/2025

← Rudi Mwanzo Toa Maoni

Shiriki habari hii: