Meli ya Handala Yakabiliwa na Hatari ya Kukamatwa na Jeshi la Israeli

 meli-iliyo beba-mizigo-kwaajili-ya-msaada-wa-watu-wa-gaza-yakamatwa

Meli ya misaada ya kibinadamu iitwayo Handala, iliyotumwa na muungano wa wanaharakati wa kimataifa wa Freedom Flotilla Coalition, inakaribia ukanda wa Gaza huku ikikabiliwa na tishio la kukamatwa na Jeshi la Majini la Israeli. Meli hiyo iliondoka kutoka Syracuse, Italia mnamo Julai 13, ikiwa na wanaharakati 19 na waandishi wa habari 2, kwa lengo la kuvunja mzingiro wa baharini wa Gaza unaodaiwa kuwa wa kinyume cha sheria


Kauli ya Israeli


Safari ya Handala

picha-ndogo-ya-mwandishi by Twaha Ahmadi | Iliandikwa Julai 21, 2025

← Rudi Mwanzo Toa Maoni

Shiriki habari hii: